News and Resources Change View → Listing

President Samia’s state visit to India secures 15 deals

President Samia Suluhu Hassan's four-day state visit to India has resulted in a major breakthrough for Tanzania's pharmaceutical industry.The two countries have signed an agreement to establish a…

Read More

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso ashiriki katika Kongamano la 17 la Biashara na Uwekezaji Kati ya India na Afrika, Tarehe 19-20 Julai 2022, Jijini New Delhi

New Delhi-Julai 20, 2022-Ubalozi wa Tanzania, New Delhi umeratibu na kushiriki kikamilifu katika Kongamano la Kimataifa la kibisahara na Uwekezaji kati ya India na Afrika “17th CII EXIM Bank Digital Conclave…

Read More

Ubalozi wa Tanzania, New Delhi umeadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani tarehe 07 Julai jijini New Delhi

New Delhi, Julai 07, 2022 - Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na diaspora wa Tanzania nchini India uliandaa na kuratibu hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani yaliyofanyika katika…

Read More

TANZANIA NA INDIA YAFANYA KIKAO CHA PILI CHA MASHAURIANO MJINI NEW DELHI, INDIA TAREHE 16 JUNI 2022

New Delhi, Juni 16, 2022 - Balozi Caesar C. Waitara, Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amekutana na kufanya kikao cha pili cha…

Read More

H.E. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AWARDED THE SUPER BUILDER AWARD-BABACAR N’DIAYE TROPHY, ACCRA, GHANA, 25TH MAY 2022

From 23 to 26th May, 2022, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, paid a Working Visit to Ghana where she attended the 57th African Development Bank and…

Read More

Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa mara ya kwanza umepokea meli ya kwanza iliyobeba Kontena la Parachichi kutoka Tanzania

Mumbai, Mei 04, 2022 - Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa mara ya kwanza umepokea meli ya kwanza iliyobeba Kontena la Parachichi kutoka Tanzania. Kontena hilo liliwasili katika Bandari ya Jawalar Nehru…

Read More