BALOZI ANISA MBEGA APOKEA UJUMBE WA KIKUNDI CHA NGOMA ZA ASILI CHA NYATI MCHOYA UBALOZINI TAREHE 28 MACHI 2022
New Delhi, Machi 28, 2022- Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Balozi Anisa Mbega ameupokea Ubalozini Ujumbe wa kikundi cha ngoma za asili cha Nyati Mchoya kutoka katika Kijiji cha Nzali, Chamwino, jijini…
Read More