Balozi Baraka H. Luvanda akiwa katika picha ya pamoja na kundi la Washiriki wa Mafunzo ya mwaka 2018/2019 katika Chuo cha Mafunzo ya Ulinzi cha Taifa (NDC) kilichopo Kunduchi ambao wapo nchini India kwa ziara ya mafunzo ya siku 5 iliyoanza leo tarehe 10 Juni, 2019.
Ujumbe huo unaongozwa na Brig. Jenerali Chestino Elias Msola na Comodore Michael Mwandanje Mumanga.
Picha nyingine, Brig. Jenerali Msola akikabidhi zawadi ya ukumbusho (memento) na nyingine akikabidhiwa zawadi ya ukumbusho ya Ubalozi.
Picha nyingine, Brig. Jenerali Msola akikabidhi zawadi ya ukumbusho (memento) na nyingine akikabidhiwa zawadi ya ukumbusho ya Ubalozi.