• Balozi Luvanda akimuelezea jambo Balozi Mteule wa India, Tanzania Mhe. Sanjiv Kohli alipomtembelea katika ofisi za Ubalozi jijini New Delhi Julai 02, 2019
  • Balozi Luvanda akimsikiliza Balozi Mteule wa India, Tanzania, Mhe. Sanjiv Kohli wakati wa mazungumzo hayo. Afisa Ubalozi [kulia], Dkt. Kheri Goloka akifuatilia mazungumzo hayo.
  • Balozi Luvanda na Balozi Mteule wa India, Tanzania, Mhe. Sanjiv Kohli [katikati] wakiwa katika picha ya pamoja. Kushoto ni Afisa Ubalozi, Dkt. Kheri Goloka.Balozi Luvanda na Balozi Mteule wa India, Tanzania, Mhe. Sanjiv Kohli [katikati] wakiwa katika picha ya pamoja. Kushoto ni Afisa Ubalozi, Dkt. Kheri Goloka.