Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango akizungmza na Rais wa Armenia Mhe. Dkt. Armen Sarkissian walipokutana kabla ya kuanza kwa Jukwaa la Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg linalofanyika katika Hoteli ya Cappella Kisiwa cha Santosa Nchini Singapore, Novemba 17, 2021.
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango akisalimiana na Mwanzilishi na Muandaaji wa Jukwaa la Nne la Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg, Bwana Micheal Bloomberg, linalofanyika Nchini Singapore, walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano huo, Novemba 17, 2021